wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Sunday, 20 December 2015


Miss World 2015

by Selles Mapunda


Ni shindano ambalo limefanyika nchini China kwa mara ya saba kuanzia mwaka 2003 ambapo kwenye fainali za 2015, mshindi ametangazwa kuwa ni Mireia Lalaguna Royo wa Hispania ambaye umri wake ni miaka 23, wanasema kingine kikubwa kilichompa nafasi ni umahiri wake mkubwa wa kuongea mbele ya hadhara.  Nchi zilizoingia kwenye Top 10 ya shindano hili la 65 ni Russia, Philippines, Guyana, Lebanon, Spain, Jamaica, France, South Africa, Spain and Australia. Tanzania ilikua ikiwakilishwa na Mrembo Lilian Kamazima ambaye pia alifanikiwa kuingia kwenye kumi bora ya Miss World beauty with a purpose ambayo ilitokana na kuitumikia jamii kwenye project yake ya tatizo la Fistula kwa kina mama.

No comments:

Post a Comment