wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Friday, 15 January 2016

BOND AMLILIA WASTARA!

Msanii wa filamu hapa nchini Bond bin Sinani aliydumu kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake Wastara Juma kwa muda mrefu, hivi karibuni alimwaga machozi kumlilia mpenzi wake huyo baada ya kuolewa ndoa ya ghafla. akizungumzia tukio hilo Bond alisema ameumizwa sana na kitendo cha Wastara kuamua kufunga ndoa kwa siri na ghafla bila kumfahamisha.

No comments:

Post a Comment