wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Friday, 15 January 2016

HUDDAH ANAMBEMENDA HARMONISE!


Baada ya kuibuka kwa penzi kati ya mlimbwende Huddah Monroe wa Kenya na msanii chipukizi wa Tanzania Harmonise, wadau wengi wamedai kwamba mlimbwende huyo anambemenda mtoto huyo mwana bongoflavour zao la Diamond Platnumz! hayo yanasemwa pia kutokana na kukomaa kwa matendo ya mlimbwende Huddah kwenye historia yake ya mahusiano ya kimapenzi na kote alikopita ikiwa inaaminika kwamba harmonise ni kifaranga tu kwa mlimbwende huyo.

No comments:

Post a Comment