wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Tuesday, 26 January 2016

RICHARD KIBOKO KABISA!



Aliyekuwa mshindi wa shindano la Big Brother Africa season 2 ambae kwa sasa anafanya maisha yake nchini Canada Richard Bezuidenhout amejibu mapigo baada ya mkewe kutishia kuivunja ndoa yake kutokana na kile kilichodaiwa kusambaa kwa picha chafu zinazoashiria uwepo wa mahusiano kati ya mshindi huyo wa zamani wa shindano la big Brother Africa pamoja na wanawake kadhaa. Richard ambae pia ni bonge la msanii wa filamu aliyewahi kuwika hapa nchini na filamu kibao ameamua krudisha majeshi yaani kuondoka nchini humo na kurejea hapa nchini Tanzania. Richard amekaririwa akisema kwamba ameona bora aonyeshe kwa vitendo kile kilicho kilichopelekea mgoror katika ndoa yake. Akifafanua hilo Rich alisema ameamua kurudisha majeshi hapa nchini ili kuendelea na shughuli zake za filamu ili watanzania waone uwezo wake ulivyokuwa akimaanisha ni tofauti na hapo awali ambapo alikuwa akiigiza bila taaluma ya fani hiyo ambapo kwa kuanzia ameshakamilisha filamu ya Kiswahili nchini Canada inayokwenda kwa jina la “Mwanaume siyo ATM Machine” ambayo inatarajia kusambazwa hapa nchini Tanzania hivi karibu.

No comments:

Post a Comment