wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Tuesday, 5 January 2016

 RAY C TUTAMKOSA!

Msanii zilipendwa wa muziki wa kizazi kipya Rehema Chalamila a.k.a Ray C ambaye alipoteza muelekeo ya kazi na maisha yake ya kimuziki baada ya kubobea katika matumizi ya madawa ya kulevya amerejea tena katika lindi hilo! Habari zenye uhakika zilizotua katika dawati la Kachumbari zinadai kwamba hivi sasa Ray C hashikiki kabisa na anaelekea kuzidiwa na madawa! Hivi karibuni Ray C amefikia hatua ya kulilia auze nyumba ya mama yake ili aende kuishi Marekani anakodai kwamba kuna wazungu wa unga wenzake! Mara ya kwanza alipobobea kwenye utumiaji wa madawa raisi mstaafu chakaramo JK Kikwete alijitolea kumsaidia kupata matibabu ambayo yalimrejesha kwenye utu lakini hakuzuchukua muda akarudia tena! Ray C, usicheze na maisha yako kwani bado watanzania wanakuhitaji!

No comments:

Post a Comment