wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Monday, 11 January 2016

RICHARD WA BBA 2 AREJEA TANZANIA!



Mshiriki na mshindi wa shindano la Big Brother Africa season 2 Rchard Bezadenhout ambaye anaishi nchini Canada anarejea rasmi nchini Tanzania kwa ajili ya kufanya shughuli za filamu. Akiongea hayo meneja na msemaji wa msanii huyo Selles Mapunda amesema kwamba wakati akiwa nchini Canada Richard alijikita katika kusomea mambo ya uandaaji filamu na sasa ameshahitimu hivyokumuwezesha kufanya filamu zenye kiwango cha kimataifa. Aidha Mapunda aliongezea kwamba msanii wake huyo tayari ameshafanya filamu kadhaa nchini Canada zitakazosambazwa hapa nchini hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment