wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Tuesday, 26 January 2016

SHILOLE AJILIWAZA SOUTH AFRIKA BAADA YA KIBUTI!




Msanii machachari wa muziki wa kizazi kipya Shilole ametamba kwenye mitandao ya jamii kwamba sasa ni mwenye furaha baada ya ku-break up na aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda. Shilole alijinasibu kwamba sasa ana mpenzi mpya na ameamua kujipa faraja mwenyewe nchini Afrika kusini ili afungue ukurasa mpya.

No comments:

Post a Comment