wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Tuesday, 5 January 2016

GARI JIPYA LA KIFAHARI LA WEMA LASUMBUA WATU!
Katika hali ambayo imeshtua wengi mapema wiki hii ni pale ambapo mamia ya wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa "Team Diamond" kuzusha uzushi kwenye mitandao ya kijamii ikiwamo Instagra, Facebook na tweeter wakidai kwamba gari aina ya Range Rover "Evoque" alilojizawadia msanii mwenye vibweka kuliko wote tanzania Wema Isaack sepetu kwamba siyo lake na alilikodi tu kutoka kwa kijana tajiri wa madini Marleydollars kwaajili ya ku-show off! Baada ya habari hizo kuzagaa mitandaoni Kachumbari blog ilimsaka aliyedaiwa kumiliki gari hilo ambapo alikanusha na kuweka wazi kwamba Wema alikwisha linunua gari hilo kabla ya siku yake ya birthday kwa pesa taslim na kwamba ni mali yake halali.

No comments:

Post a Comment