wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Monday, 11 January 2016

MSHAHARA WA SAMATTA MIL. 85 KWA MWEZI!


Msukuma kandanda bingwa Afrika kwa mwaka 2015 / 2016 mtanzania Mbwana Samatta yadaiwa amelamba joka baada ya kusaini mkataba wa kulipwa mshahara mnono wa tshs 85,000,000/= (shilingi za kitanzania milioni themanini na tano kwa mwezi) malipo hayo ni tofauti na malipo yake ya chakula, malazi na usafiri! mungu amzidishie!

No comments:

Post a Comment