wembe ads

wembe ads

Search Posts

Tanzania's Number one gossip blog with latest entertainment news, scandals, fashion and videos. contacts +255 789 120 888 (Dar Es Salaam, Tanzania)

Monday, 11 January 2016

 RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE (4)  MH: JAKAYA KIKWETE AMPONGEZA SAMATTA.


Mbwana Samatta akiwa na Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na waziri wa vijana, utamaduni na michezo Mh Nape Nnauye.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akiingia ukumbini na Nyota wa Soka Tanzania, aliyeshinda Tuzo ya mwanasoka Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa ndani, Mbwana Samatta, alipokutana na mchezaji huyo leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, kwa ajili ya kumpongeza kufuatia kutwaa tuzo hiyo

Mbwana Samatta akimkabidhi jezi Nambari 9 Mh; Jakaya Kikwete

No comments:

Post a Comment